Faida katika Ujasiriamali

Category: Mjasiriamali na Ujasiriamali

Zifuatazo ni baadhi ya faida ambazo zinatokana na ujasiriamali

  1. Ujira binafsi na nafasi za ajira kwa watu wengi
  2. Kupunguza umasikini miongoni mwa watu
  3. Kutumia ipasavyo rasilimali tulizonazo
  4. Matumizi sahihi ya rasilimali watu
  5. Ujasiamali hutupa mwanga katika kufanya na kuanzisha shughuri mpya
  6. Kukuza na kuendeleza uchumi katika nchi
  7. Kupunguza kiwango cha umasikini miongoni mwa watu
  8. Kupunguza tofauti katika maendeleo baina ya watu, mikoa, nchi n.k